Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Unioshe kabisa kutokana na kosa langu,+

      Na kunitakasa kutokana na dhambi yangu.+

  • Mika 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+

  • Zekaria 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo akajibu na kuwaambia wale waliosimama mbele yake: “Mvueni mavazi hayo machafu.” Naye akaendelea kumwambia: “Ona, nimekuondolea kosa lako,+ nawe umevikwa kanzu za fahari.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki