Zaburi 51:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Unioshe kabisa kutokana na kosa langu,+Na kunitakasa kutokana na dhambi yangu.+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+ Zekaria 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo akajibu na kuwaambia wale waliosimama mbele yake: “Mvueni mavazi hayo machafu.” Naye akaendelea kumwambia: “Ona, nimekuondolea kosa lako,+ nawe umevikwa kanzu za fahari.”+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+
4 Ndipo akajibu na kuwaambia wale waliosimama mbele yake: “Mvueni mavazi hayo machafu.” Naye akaendelea kumwambia: “Ona, nimekuondolea kosa lako,+ nawe umevikwa kanzu za fahari.”+