Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana palikuwa na hesabu kubwa ya watu, wengi kutoka Efraimu+ na Manase,+ Isakari na Zabuloni,+ ambao hawakuwa wamejitakasa,+ kwa maana hawakula pasaka kulingana na yale ambayo yameandikwa;+ lakini Hezekia akasali kwa ajili yao,+ na kusema: “Yehova aliye mwema+ na amkubali

  • Zaburi 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mwenye furaha ni mtu ambaye amesamehewa maasi yake, ambaye dhambi yake imefunikwa.+

  • Zaburi 51:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ufiche uso wako kutoka kwa dhambi zangu,+

      Na ufutilie mbali makosa yangu yote.+

  • Waebrania 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana nitaonyesha rehema kwa matendo yao yasiyo ya uadilifu, nami sitazikumbuka+ tena dhambi+ zao hata kidogo.’ ”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki