Yakobo 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, kuna yeyote mgonjwa kati yenu?+ Na awaite kwake wanaume wazee+ wa kutaniko, nao wasali juu yake, wakimpaka mafuta+ katika jina la Yehova.
14 Je, kuna yeyote mgonjwa kati yenu?+ Na awaite kwake wanaume wazee+ wa kutaniko, nao wasali juu yake, wakimpaka mafuta+ katika jina la Yehova.