3 kuwapa wale wanaoomboleza kwa ajili ya Sayuni, kuwapa vazi la kichwani badala ya majivu,+ mafuta ya furaha+ badala ya maombolezo, nguo ya kujitanda ya sifa badala ya roho iliyovunjika;+ nao wataitwa miti mikubwa ya uadilifu,+ bustani ya Yehova,+ ili yeye arembeshwe.+
34 Kwa hiyo akamkaribia akayafunga majeraha yake, na kumwaga mafuta na divai juu yake.+ Kisha akampandisha juu ya mnyama wake mwenyewe akamleta kwenye nyumba ya wageni na kumtunza.