Zaburi 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mbele yangu wewe unatayarisha meza mbele ya wale wanaonionyesha uadui.+Umepaka kichwa changu mafuta;+Kikombe changu kimejazwa vizuri.+ Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+ na sheria ni nuru,+ nayo makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima,+ Methali 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Inakupasa umpige mwenye dhihaka,+ ili mtu ambaye hana uzoefu apate kuwa mwerevu;+ naye mtu mwenye uelewaji anapaswa kukaripiwa, ili apate kutambua ujuzi.+ Yakobo 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, kuna yeyote mgonjwa kati yenu?+ Na awaite kwake wanaume wazee+ wa kutaniko, nao wasali juu yake, wakimpaka mafuta+ katika jina la Yehova.
5 Mbele yangu wewe unatayarisha meza mbele ya wale wanaonionyesha uadui.+Umepaka kichwa changu mafuta;+Kikombe changu kimejazwa vizuri.+
25 Inakupasa umpige mwenye dhihaka,+ ili mtu ambaye hana uzoefu apate kuwa mwerevu;+ naye mtu mwenye uelewaji anapaswa kukaripiwa, ili apate kutambua ujuzi.+
14 Je, kuna yeyote mgonjwa kati yenu?+ Na awaite kwake wanaume wazee+ wa kutaniko, nao wasali juu yake, wakimpaka mafuta+ katika jina la Yehova.