Kumbukumbu la Torati 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na itatukia kwamba ikiwa yule mwovu anastahili kupigwa,+ atalazwa kifudifudi na mwamuzi na kupigwa+ mbele yake kwa hesabu inayolingana na tendo lake baya. Methali 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kumtoza mwenye dhihaka, asiye na uzoefu huwa mwenye hekima;+ na kwa kumpa mtu mwenye hekima ufahamu, yeye hupata ujuzi.+ Methali 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mfukuze mwenye dhihaka, ili ugomvi utoke na ili mashtaka ya kisheria na ukosefu wa heshima vikome.+
2 Na itatukia kwamba ikiwa yule mwovu anastahili kupigwa,+ atalazwa kifudifudi na mwamuzi na kupigwa+ mbele yake kwa hesabu inayolingana na tendo lake baya.
11 Kwa kumtoza mwenye dhihaka, asiye na uzoefu huwa mwenye hekima;+ na kwa kumpa mtu mwenye hekima ufahamu, yeye hupata ujuzi.+
10 Mfukuze mwenye dhihaka, ili ugomvi utoke na ili mashtaka ya kisheria na ukosefu wa heshima vikome.+