Methali 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa, asiye na uzoefu hupata hekima zaidi,Na mtu mwenye hekima anapopata ufahamu, anapata ujuzi.*+ Methali Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:11 Mnara wa Mlinzi,6/1/1988, uku. 29
11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa, asiye na uzoefu hupata hekima zaidi,Na mtu mwenye hekima anapopata ufahamu, anapata ujuzi.*+