Methali 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mfundishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima.+ Mfundishe mwadilifu, naye atazidi kuelimika. Methali 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mpige mwenye dhihaka,+ ili mjinga awe mwerevu,+Mkaripie mwenye uelewaji ili aongeze ujuzi wake.+
9 Mfundishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima.+ Mfundishe mwadilifu, naye atazidi kuelimika.