Methali 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye hekima husikiliza na kujifunza zaidi;+Mtu mwenye uelewaji hupata mwelekezo stadi*+ Methali 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mtu anayesikiliza karipio la uzimaHutulia miongoni mwa wenye hekima.+ Methali 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kemeo humgusa moyo zaidi mtu mwenye uelewaji+Kuliko kumpiga mpumbavu mara mia moja.+ Methali 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kama kipuli cha dhahabu na pambo la dhahabu boraNdivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwa sikio linalosikia.+
5 Mtu mwenye hekima husikiliza na kujifunza zaidi;+Mtu mwenye uelewaji hupata mwelekezo stadi*+ Methali 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mtu anayesikiliza karipio la uzimaHutulia miongoni mwa wenye hekima.+ Methali 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kemeo humgusa moyo zaidi mtu mwenye uelewaji+Kuliko kumpiga mpumbavu mara mia moja.+ Methali 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kama kipuli cha dhahabu na pambo la dhahabu boraNdivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwa sikio linalosikia.+
12 Kama kipuli cha dhahabu na pambo la dhahabu boraNdivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwa sikio linalosikia.+