Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+ Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba. Methali 1:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+Wala usiyaache mafundisho* ya mama yako.+ 9 Ni shada linalovutia kwenye kichwa chako+Na pambo maridadi shingoni mwako.+ Methali 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, kwa maana atakuchukia.+ Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda.+
5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+ Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba.
8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+Wala usiyaache mafundisho* ya mama yako.+ 9 Ni shada linalovutia kwenye kichwa chako+Na pambo maridadi shingoni mwako.+