Methali 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, kwa maana atakuchukia.+ Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda.+ Methali 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sikiliza mashauri na ukubali nidhamu,+Ili uwe na hekima wakati wako ujao.+