Kumbukumbu la Torati 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 msiache mioyo yenu iwe na kiburi+ na kuwafanya mumsahau Yehova Mungu wenu, aliyewatoa nchini Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa,+ Kumbukumbu la Torati 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na kuwalisha mana+ nyikani, ambayo baba zenu hawakuwa wameijua, ili awanyenyekeze+ na kuwajaribu ili awanufaishe baadaye.+ Waebrania 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mnahitaji kuvumilia kama sehemu ya nidhamu* yenu. Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye hatiwi nidhamu na baba yake?+ Waebrania 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali inaumiza;* lakini baadaye hutokeza amani na uadilifu* kwa wale ambao wamezoezwa nayo.
14 msiache mioyo yenu iwe na kiburi+ na kuwafanya mumsahau Yehova Mungu wenu, aliyewatoa nchini Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa,+
16 na kuwalisha mana+ nyikani, ambayo baba zenu hawakuwa wameijua, ili awanyenyekeze+ na kuwajaribu ili awanufaishe baadaye.+
7 Mnahitaji kuvumilia kama sehemu ya nidhamu* yenu. Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye hatiwi nidhamu na baba yake?+
11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali inaumiza;* lakini baadaye hutokeza amani na uadilifu* kwa wale ambao wamezoezwa nayo.