Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 msiache mioyo yenu iwe na kiburi+ na kuwafanya mumsahau Yehova Mungu wenu, aliyewatoa nchini Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa,+

  • Kumbukumbu la Torati 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na kuwalisha mana+ nyikani, ambayo baba zenu hawakuwa wameijua, ili awanyenyekeze+ na kuwajaribu ili awanufaishe baadaye.+

  • Waebrania 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mnahitaji kuvumilia kama sehemu ya nidhamu* yenu. Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye hatiwi nidhamu na baba yake?+

  • Waebrania 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali inaumiza;* lakini baadaye hutokeza amani na uadilifu* kwa wale ambao wamezoezwa nayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki