Methali 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mfundishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima.+ Mfundishe mwadilifu, naye atazidi kuelimika. Methali 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa, asiye na uzoefu hupata hekima zaidi,Na mtu mwenye hekima anapopata ufahamu, anapata ujuzi.*+
9 Mfundishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima.+ Mfundishe mwadilifu, naye atazidi kuelimika.
11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa, asiye na uzoefu hupata hekima zaidi,Na mtu mwenye hekima anapopata ufahamu, anapata ujuzi.*+