Methali 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+ Methali 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeyote aliye mpumbavu hudharau nidhamu ya baba yake,+ lakini mtu yeyote anayejali karipio ni mwerevu.+
13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+
5 Yeyote aliye mpumbavu hudharau nidhamu ya baba yake,+ lakini mtu yeyote anayejali karipio ni mwerevu.+