Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+ Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+ na sheria ni nuru,+ nayo makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima,+ Waebrania 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+
5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+
11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+