Methali 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, asije akakuchukia.+ Mpe karipio mtu mwenye hekima naye atakupenda.+ Methali 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Inakupasa umpige mwenye dhihaka,+ ili mtu ambaye hana uzoefu apate kuwa mwerevu;+ naye mtu mwenye uelewaji anapaswa kukaripiwa, ili apate kutambua ujuzi.+ Methali 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pete ya dhahabu na pambo la dhahabu ya pekee, ndivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwenye sikio linalosikia.+
8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, asije akakuchukia.+ Mpe karipio mtu mwenye hekima naye atakupenda.+
25 Inakupasa umpige mwenye dhihaka,+ ili mtu ambaye hana uzoefu apate kuwa mwerevu;+ naye mtu mwenye uelewaji anapaswa kukaripiwa, ili apate kutambua ujuzi.+
12 Pete ya dhahabu na pambo la dhahabu ya pekee, ndivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwenye sikio linalosikia.+