Ayubu 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mnifundishe, nami, kwa upande wangu, nitanyamaza;+Na mnieleweshe kosa ambalo nimetenda.+ Methali 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mpe mtu mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima.+ Mpe ujuzi mtu mwadilifu naye atazidi kujifunza. Ufunuo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+
9 Mpe mtu mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima.+ Mpe ujuzi mtu mwadilifu naye atazidi kujifunza.
19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+