Zaburi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Makosa—ni nani anayeweza kuyatambua?+Unitangaze kuwa sina hatia ya dhambi zilizofichwa.+ Zaburi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia umzuie mtumishi wako kutokana na matendo ya kimbelembele;+Usiyaache yanitawale.+Hapo ndipo nitakapokuwa kamili,+Nami nitakuwa sina hatia ya makosa mengi. Methali 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Inakupasa umpige mwenye dhihaka,+ ili mtu ambaye hana uzoefu apate kuwa mwerevu;+ naye mtu mwenye uelewaji anapaswa kukaripiwa, ili apate kutambua ujuzi.+
13 Pia umzuie mtumishi wako kutokana na matendo ya kimbelembele;+Usiyaache yanitawale.+Hapo ndipo nitakapokuwa kamili,+Nami nitakuwa sina hatia ya makosa mengi.
25 Inakupasa umpige mwenye dhihaka,+ ili mtu ambaye hana uzoefu apate kuwa mwerevu;+ naye mtu mwenye uelewaji anapaswa kukaripiwa, ili apate kutambua ujuzi.+