Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Makosa—ni nani anayeweza kuyatambua?+

      Unitangaze kuwa sina hatia ya dhambi zilizofichwa.+

  • Zaburi 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pia umzuie mtumishi wako kutokana na matendo ya kimbelembele;+

      Usiyaache yanitawale.+

      Hapo ndipo nitakapokuwa kamili,+

      Nami nitakuwa sina hatia ya makosa mengi.

  • Methali 19:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Inakupasa umpige mwenye dhihaka,+ ili mtu ambaye hana uzoefu apate kuwa mwerevu;+ naye mtu mwenye uelewaji anapaswa kukaripiwa, ili apate kutambua ujuzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki