-
1 Wafalme 22:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Bado kuna mtu mmoja ambaye tunaweza kumuuliza Yehova kupitia yeye;+ lakini hakika mimi ninamchukia,+ kwa maana yeye hatoi unabii wa mambo mema kunihusu mimi, ila mabaya+—Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mfalme asiseme jambo kama hilo.”+
-