Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Ahabu akamwambia Eliya: “Je, umenipata, ewe adui yangu?”+ naye akasema: “Nimekupata. ‘Kwa sababu umejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+

  • Zaburi 34:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Msiba utamuua mwovu;+

      Na wale wanaomchukia mwadilifu watahesabiwa kuwa na hatia.+

  • Methali 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, asije akakuchukia.+ Mpe karipio mtu mwenye hekima naye atakupenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki