20 Na Ahabu akamwambia Eliya: “Je, umenipata, ewe adui yangu?”+ naye akasema: “Nimekupata. ‘Kwa sababu umejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova,+
16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+