Methali 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka anajipatia aibu yeye mwenyewe,+ naye anayemkaripia mwovu—mna kasoro ndani yake.+ Methali 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usimjibu mtu yeyote mjinga kulingana na upumbavu wake, ili wewe nawe usiwe sawa na yeye.+ Isaya 36:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao wakaendelea kukaa kimya wala hawakumjibu neno lolote,+ kwa maana amri ya mfalme ilisema: “Hampaswi kumjibu.”+ Matendo 13:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+
7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka anajipatia aibu yeye mwenyewe,+ naye anayemkaripia mwovu—mna kasoro ndani yake.+
21 Nao wakaendelea kukaa kimya wala hawakumjibu neno lolote,+ kwa maana amri ya mfalme ilisema: “Hampaswi kumjibu.”+
46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+