Zaburi 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda-dhambi katika ile njia.+ Zaburi 86:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+ Marko 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema?+ Hakuna mtu aliye mwema, ila mmoja, Mungu.+
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+