Zaburi 103:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kama vile mashariki ilivyo mbali sana na magharibi,+Ndivyo ameweka makosa yetu mbali sana na sisi.+ Isaya 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+ Yeremia 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+
12 Kama vile mashariki ilivyo mbali sana na magharibi,+Ndivyo ameweka makosa yetu mbali sana na sisi.+
17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+
17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+