Zaburi 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+ Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+ Zaburi 86:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+ Zaburi 88:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Aliyewekwa huru katikati ya wafu,+Kama waliouawa ambao wanalala kaburini,+Ambao huwakumbuki tenaNa ambao wametenganishwa na mkono wako wenye kusaidia.+ Yona 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nilishuka mpaka sehemu za chini kabisa za milima.Nayo dunia, mapingo yake yalikuwa juu yangu mpaka wakati usio na kipimo.Lakini uliinua uhai wangu toka shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+
28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+
3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+
13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+
5 Aliyewekwa huru katikati ya wafu,+Kama waliouawa ambao wanalala kaburini,+Ambao huwakumbuki tenaNa ambao wametenganishwa na mkono wako wenye kusaidia.+
6 Nilishuka mpaka sehemu za chini kabisa za milima.Nayo dunia, mapingo yake yalikuwa juu yangu mpaka wakati usio na kipimo.Lakini uliinua uhai wangu toka shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+