Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+

      Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+

      Ili usininyamazie+

      Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+

  • Zaburi 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+

      Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+

  • Zaburi 86:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+

      Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+

  • Zaburi 88:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Aliyewekwa huru katikati ya wafu,+

      Kama waliouawa ambao wanalala kaburini,+

      Ambao huwakumbuki tena

      Na ambao wametenganishwa na mkono wako wenye kusaidia.+

  • Yona 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nilishuka mpaka sehemu za chini kabisa za milima.

      Nayo dunia, mapingo yake yalikuwa juu yangu mpaka wakati usio na kipimo.

      Lakini uliinua uhai wangu toka shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki