Ayubu 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yeye ameikomboa nafsi yangu isiingie shimoni,+Na uzima wangu wenyewe utaona nuru.’ Zaburi 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+ Zaburi 69:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kijito cha maji yanayotiririka kisinifagilie mbali,+Wala kilindi kisinimeze,Wala kisima kisifunge kinywa chake juu yangu.+ Isaya 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+
9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+
15 Kijito cha maji yanayotiririka kisinifagilie mbali,+Wala kilindi kisinimeze,Wala kisima kisifunge kinywa chake juu yangu.+
18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+