Zaburi 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kuna faida gani nikifa,* nikishuka shimoni?*+ Je, mavumbi yatakusifu?+ Je, yatasimulia kuhusu uaminifu wako?+ Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 30:9 Mnara wa Mlinzi (Funzo),2/2023, uku. 21
9 Kuna faida gani nikifa,* nikishuka shimoni?*+ Je, mavumbi yatakusifu?+ Je, yatasimulia kuhusu uaminifu wako?+