Zaburi 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana waliokufa hawakutaji;*Katika kaburi,* ni nani atakayekusifu?+ Zaburi 115:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watu waliokufa hawamsifu Yah;+Wala yeyote anayeshuka kwenye ukimya wa kifo.*+ Mhubiri 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jambo lolote unalofanya kwa mkono wako, lifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini,*+ mahali unapokwenda.
10 Jambo lolote unalofanya kwa mkono wako, lifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini,*+ mahali unapokwenda.