Zaburi 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana katika kifo wewe hutajwi;+Katika Kaburi* ni nani atakayekusifu?+ Zaburi 115:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wafu wenyewe hawamsifu Yah,+Wala wowote wanaoingia mahali penye kimya.+ Mhubiri 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+
10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+