Mwanzo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+ Zaburi 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+ Zaburi 88:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, utawafanyia wale waliokufa jambo la ajabu?+Au je, wale wasiojiweza katika kifo watasimama,+Je, watakusifu wewe?+ Sela. Zaburi 115:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wafu wenyewe hawamsifu Yah,+Wala wowote wanaoingia mahali penye kimya.+ Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+
19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+
10 Je, utawafanyia wale waliokufa jambo la ajabu?+Au je, wale wasiojiweza katika kifo watasimama,+Je, watakusifu wewe?+ Sela.
5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+