Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 88:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Je, utawafanyia wale waliokufa jambo la ajabu?+

      Au je, wale wasiojiweza katika kifo watasimama,+

      Je, watakusifu wewe?+ Sela.

  • Zaburi 115:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wafu wenyewe hawamsifu Yah,+

      Wala wowote wanaoingia mahali penye kimya.+

  • Zaburi 146:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+

      Siku hiyo mawazo yake hupotea.+

  • Isaya 38:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+

      Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+

  • Yohana 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki