Zaburi 88:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, utawafanyia wale waliokufa jambo la ajabu?+Au je, wale wasiojiweza katika kifo watasimama,+Je, watakusifu wewe?+ Sela. Zaburi 115:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wafu wenyewe hawamsifu Yah,+Wala wowote wanaoingia mahali penye kimya.+ Zaburi 146:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+Siku hiyo mawazo yake hupotea.+ Isaya 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+ Yohana 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+
10 Je, utawafanyia wale waliokufa jambo la ajabu?+Au je, wale wasiojiweza katika kifo watasimama,+Je, watakusifu wewe?+ Sela.
18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+
11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+