Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Unitazame; unijibu, Ee Yehova Mungu wangu.

      Uyafanye macho yangu yang’ae,+ ili nisilale usingizi katika kifo.+

  • Mathayo 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+

  • Matendo 7:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Ndipo akapiga magoti yake, akapaaza sauti kubwa: “Yehova, usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo akalala usingizi katika kifo.

  • 1 Wakorintho 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja, ambao walio wengi kati yao wapo mpaka sasa,+ lakini wengine wamelala usingizi katika kifo.

  • 1 Wakorintho 15:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Tazama! Nawaambia ninyi siri takatifu: Hatutalala usingizi katika kifo sisi sote, bali sisi sote tutabadilishwa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki