Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+ Isaya 38:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimesema: “Sitamwona Yah, ndiyo, Yah, katika nchi ya walio hai.+Sitawaona wanadamu tena—pamoja na wakaaji wa nchi ya kukoma.
5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+
11 Nimesema: “Sitamwona Yah, ndiyo, Yah, katika nchi ya walio hai.+Sitawaona wanadamu tena—pamoja na wakaaji wa nchi ya kukoma.