16 Kwa maana mtu mwenye hekima hakumbukwi zaidi ya yule mjinga mpaka wakati usio na kipimo.+ Siku ambazo tayari zinakuja, kila mtu husahauliwa; naye mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mjinga.+
14 Wao wamekufa; hawataishi.+ Wakiwa ni wasiojiweza katika kifo,+ hawataamka.+ Kwa hiyo umeelekeza fikira zako ili uwaangamize na kuharibu majina yao yote.+