Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hatarudi tena nyumbani kwake,

      Na mahali pake hapatamtambua tena.+

  • Zaburi 109:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wawe mbele za Yehova daima;+

      Naye akatilie mbali kumbukumbu lao kutoka duniani;+

  • Mhubiri 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana mtu mwenye hekima hakumbukwi zaidi ya yule mjinga mpaka wakati usio na kipimo.+ Siku ambazo tayari zinakuja, kila mtu husahauliwa; naye mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mjinga.+

  • Isaya 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wao wamekufa; hawataishi.+ Wakiwa ni wasiojiweza katika kifo,+ hawataamka.+ Kwa hiyo umeelekeza fikira zako ili uwaangamize na kuharibu majina yao yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki