Zaburi 34:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda yaliyo mabaya,+Ili kumbukumbu lao liondolewe mbali duniani.+ Isaya 65:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nanyi hakika mtaweka jina lenu kuwa kiapo kwa wachaguliwa wangu, na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova kwa kweli atawaua ninyi mmoja mmoja,+ lakini watumishi wake atawaita kwa jina lingine;+
16 Uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda yaliyo mabaya,+Ili kumbukumbu lao liondolewe mbali duniani.+
15 Nanyi hakika mtaweka jina lenu kuwa kiapo kwa wachaguliwa wangu, na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova kwa kweli atawaua ninyi mmoja mmoja,+ lakini watumishi wake atawaita kwa jina lingine;+