8 Kwa maana mtu mwenye hekima anapata faida gani kuliko mjinga?+ Mtu anayeteseka anapata nini kwa sababu ya kujua jinsi ya kutembea machoni pa watu walio hai?
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.