Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nawe utawafunga ukumbuu, Haruni pamoja na wanawe, nawe utawafunga valio la kichwani; nao ukuhani utakuwa wao, hiyo ikiwa ni sheria mpaka wakati usio na kipimo.+ Basi utajaza nguvu mkono wa Haruni na mkono wa wanawe.+

  • Mambo ya Walawi 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na Haruni atamtoa yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake, na kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na nyumba yake; naye atamchinja ng’ombe-dume huyo wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake.+

  • Waebrania 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yeye hahitaji kila siku,+ kama wale makuhani wakuu wanavyofanya, kutoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe+ kisha kwa ajili ya zile za watu:+ (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja+ kwa wakati wote alipojitoa+ mwenyewe;)

  • Waebrania 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 kwa maana Sheria huweka rasmi kuwa makuhani wakuu+ watu walio na udhaifu,+ lakini neno la kiapo+ rasmi lililokuja baada ya Sheria humweka rasmi Mwana, ambaye amekamilishwa+ milele.

  • Waebrania 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 lakini ndani ya chumba cha pili kuhani mkuu peke yake huingia mara moja kwa mwaka,+ wala si bila damu,+ ambayo yeye huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi za hali ya watu+ ya kutojua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki