41 Na kwa vitu hivyo wewe utamvika Haruni ndugu yako na wanawe pamoja naye, nawe utawatia mafuta+ na kuijaza mikono yao nguvu+ na kuwatakasa, nao watakuwa makuhani kwangu.
29 Naye Musa akasema: “Ujazeni mkono wenu leo nguvu kwa ajili ya Yehova,+ kwa sababu kila mmoja wenu yuko dhidi ya mwana wake mwenyewe na ndugu+ yake mwenyewe, na kwamba apate kuweka baraka juu yenu leo.”+