Zaburi 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu+Na yawe yenye kupendeza mbele zako, Ee Yehova Mwamba+ wangu na Mkombozi wangu.+ Isaya 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+
14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu+Na yawe yenye kupendeza mbele zako, Ee Yehova Mwamba+ wangu na Mkombozi wangu.+
17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+