Ayubu 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo anapompa kibali na kusema,‘Mwachilie ili asishuke chini kuingia shimoni!+Nimepata fidia!+ Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+ Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+ Isaya 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+ Matendo 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.+
3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+
17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+
31 aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.+