Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 33:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo anapompa kibali na kusema,

      ‘Mwachilie ili asishuke chini kuingia shimoni!+

      Nimepata fidia!+

  • Zaburi 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+

      Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+

  • Zaburi 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+

      Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+

  • Isaya 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+

      Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+

      Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+

  • Matendo 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki