Ayubu 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nami mwenyewe najua vema kwamba mkombozi wangu+ yuko hai,Na kwamba, akija baada yangu, yeye atasimama+ juu ya mavumbi. Zaburi 49:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hakuna hata mmoja wao anayeweza kumkomboa hata ndugu,+Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake; Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+
25 Nami mwenyewe najua vema kwamba mkombozi wangu+ yuko hai,Na kwamba, akija baada yangu, yeye atasimama+ juu ya mavumbi.
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+