Methali 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+ Mathayo 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?
4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+
26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?