Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye mbuzi huyo atachukua juu yake mwenyewe makosa+ yao yote mpaka katika nchi ya jangwa,+ naye atampeleka mbuzi huyo nyikani.+

  • Isaya 43:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Mimi—mimi ndiye Yeye anayefuta+ makosa+ yako kwa ajili yangu mwenyewe,+ na dhambi zako sitazikumbuka.+

  • Yeremia 31:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Nao hawatafundishana tena kila mtu na mwenzake wala kila mtu na ndugu yake,+ wakisema, ‘Mjueni Yehova!’+ kwa maana wote watanijua mimi, kuanzia yule aliye mdogo zaidi kati yao mpaka yule aliye mkubwa zaidi kati yao,”+ asema Yehova. “Kwa maana nitalisamehe kosa lao, na dhambi yao sitaikumbuka tena.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki