Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hawatasababisha madhara+ yoyote wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu;+ kwa maana dunia hakika itajawa na kumjua Yehova kama vile maji yanavyoifunika bahari.+

  • Yeremia 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nitawapa moyo wa kunijua,+ kwamba mimi ni Yehova; nao watakuwa watu wangu,+ nami nitakuwa Mungu wao, kwa maana watarudi kwangu kwa moyo wao wote.+

  • Habakuki 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana dunia itajawa na kuujua utukufu wa Yehova kama maji yanavyoifunika bahari.+

  • Waebrania 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Nao hawatafundishana kwa vyovyote kila mtu na raia mwenzake wala kila mtu na ndugu yake, wakisema: “Mjue Yehova!”+ Kwa maana wote watanijua mimi,+ kuanzia yule aliye mdogo zaidi mpaka yule aliye mkubwa zaidi kati yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki