11 ili wale wa nyumba ya Israeli wasiweze tena kutanga-tanga na kuacha kunifuata+ wala wasijichafue tena kwa makosa yao yote. Nao watakuwa watu wangu na mimi mwenyewe nitakuwa Mungu wao,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”+
10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+