Yeremia 31:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Wakati huo,” asema Yehova, “Nitakuwa Mungu kwa familia zote za Israeli; nao watakuwa watu wangu.”+ Ezekieli 36:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nanyi hakika mtakaa katika nchi niliyowapa mababu zenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu na mimi mwenyewe nitakuwa Mungu wenu.’+ Waebrania 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+
31 “Wakati huo,” asema Yehova, “Nitakuwa Mungu kwa familia zote za Israeli; nao watakuwa watu wangu.”+
28 Nanyi hakika mtakaa katika nchi niliyowapa mababu zenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu na mimi mwenyewe nitakuwa Mungu wenu.’+
10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+