Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Wakati huo,” asema Yehova, “Nitakuwa Mungu kwa familia zote za Israeli; nao watakuwa watu wangu.”+

  • Ezekieli 36:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nanyi hakika mtakaa katika nchi niliyowapa mababu zenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu na mimi mwenyewe nitakuwa Mungu wenu.’+

  • Waebrania 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki