25 Nao kwa kweli watakaa juu ya nchi niliyompa mtumishi wangu, Yakobo, ambamo mababu zenu walikaa,+ nao kwa kweli watakaa juu yake,+ wao na wana wao na wana wa wana wao mpaka wakati usio na kipimo,+ na Daudi mtumishi wangu atakuwa mkuu wao mpaka wakati usio na kipimo.+