Yeremia 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 bali, ‘Yehova yuko hai aliyepandisha na aliyeingiza uzao wa nyumba ya Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote ambako nimewatawanya,’ na hakika wao watakaa katika nchi yao wenyewe.”+ Ezekieli 36:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nanyi hakika mtakaa katika nchi niliyowapa mababu zenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu na mimi mwenyewe nitakuwa Mungu wenu.’+
8 bali, ‘Yehova yuko hai aliyepandisha na aliyeingiza uzao wa nyumba ya Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote ambako nimewatawanya,’ na hakika wao watakaa katika nchi yao wenyewe.”+
28 Nanyi hakika mtakaa katika nchi niliyowapa mababu zenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu na mimi mwenyewe nitakuwa Mungu wenu.’+