Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana, “tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitawakusanya mateka wa watu wangu, Israeli na Yuda,”+ Yehova amesema, “nami nitawarudisha katika nchi niliyowapa mababu zao, nao hakika wataimiliki tena.”’”+

  • Ezekieli 28:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “ ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Nitakapokusanya pamoja nyumba ya Israeli kutoka kwa vikundi vya watu ambao kati yao wametawanyika,+ mimi pia nitatakaswa kati yao machoni pa mataifa.+ Nao hakika watakaa kwenye nchi+ yao niliyompa mtumishi wangu, Yakobo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki