3 Kwa maana, “tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitawakusanya mateka wa watu wangu, Israeli na Yuda,”+ Yehova amesema, “nami nitawarudisha katika nchi niliyowapa mababu zao, nao hakika wataimiliki tena.”’”+
25 “ ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Nitakapokusanya pamoja nyumba ya Israeli kutoka kwa vikundi vya watu ambao kati yao wametawanyika,+ mimi pia nitatakaswa kati yao machoni pa mataifa.+ Nao hakika watakaa kwenye nchi+ yao niliyompa mtumishi wangu, Yakobo.+