Ezekieli 28:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Nitakapowakusanya tena watu wa nyumba ya Israeli kutoka miongoni mwa mataifa walikotawanywa,+ nitatakaswa kati yao machoni pa mataifa.+ Nao watakaa katika nchi yao+ niliyompa mtumishi wangu Yakobo.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 28:25 “Kila Andiko,” uku. 137
25 “‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Nitakapowakusanya tena watu wa nyumba ya Israeli kutoka miongoni mwa mataifa walikotawanywa,+ nitatakaswa kati yao machoni pa mataifa.+ Nao watakaa katika nchi yao+ niliyompa mtumishi wangu Yakobo.+