-
Waebrania 8:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 “‘Kwa maana hili ndilo agano nitakaloagana pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Hakika mimi nitatia sheria zangu katika akili yao, na katika mioyo yao nitaziandika. Nami hakika nitakuwa Mungu wao, nao wenyewe watakuwa watu wangu.
-